Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Njia mbalimbali za kuandika tangazo la biashara

Ikiwa ni mfanyabiashara jifunze jinsi ya kuwashawishi wateja na kupata matokeo.unatakiwa kutangaza kupata matokeo makubwa watu wavutiwe na bidhaa zako na kuwafanya wateja kuwa na hamu kubwa ya kununua bidhaa zako

Jifunze njia mbalimbali za kuandika tangazo la kuuza bidhaa/huduma mtandaoni
1.Andika kama vile jinsi unavyoongea
Kampuni yako au bidhaa yako ni kama mtu na inasifa yakuwa na sauti. Na tumia hiyo sauti kuifuatisha
Andika tangazo kama vile unavyoweza kuzungumza,maneno utayoandika kati ya kampuni yako na mnunuzi wako
Sauti yako na hasa maneno utayochagua kutumia yatakuwa tofauti sana

2.Andika sifa na faida kabla haujaanza
Watu hawawezi kununua bidhaa yako au huduma yako ikiwa hawafahamu watanufaika na nini kwenye bidhaa yako. Mfano unauza  printer waelimishe watu huduma yako itawasaidiaje, je inaokoa mda na kazi?
Ubora wa hiyo bidhaa yako?
Unamwambia nini mteja ategemee kwenye hiyo bidhaa?
Andika sifa na faida kwa mteja kile ambacho atanufaika kuhusu bidhaa au huduma yako

3.Andika kile unachokiona. Fanya mawasiliano moja kwa moja na waambie kwanini wateja ni muhimu sana kwako na kitu gani utafanya kwa ajili ya wateja wako. Vitu vya kutilia mkazo nikuwaeleza
Kipi wataweza kukipata
Utatafuta cha kuwapa
Watawez kuona

4.Tumia sentensi za vitendo
Matokeo na vitendo huwa havitokei vyenyewe. Watu wanafanya na matokeo yanatokea
Mfano kama unauza alarm unawez ukaandika tangazo lako hivi
"Linda familia yako na mali zako kuzuia uvunjaji kwa kutumia alarm zetu za ulinzi
Ina uwezo mkubwa anza leo kuzitumia kuliko kuendelea  "kupoteza mali,kupoteza maisha  na kupata majeraha ondoa tatizo hilo kwa kutumia alarm zetu za ulinzi
"
5.Nenda mbele zaidi ili kuwaunganisha
Wafanye wasomaji washiriki miongozo yako kutoka wazo moja kwenda lingine. Tumia maneno kama haya

Nini cha zaidi..

Lakuongezea...

Pia muhimu..

Vizuri hata hivyo...

Kumbuka...

Unaweza pia..

La mwisho...

Jumlisha...


6.Onesha ni jinsi gani bidhaa/huduma itatua tatizo la mteja
Linapokuja swala la kuandika kichwa cha habari,Wafanyabiashara wengi wanakosea kuandika kichwa cha habari. Hichi ndio kitu cha kwanza mtu anakisoma
Kichwa cha habari ndio sehemu muhimu kwako kufanikisha ili mteja asome tangazo lako
Watu huwa wanafungua tangazo ambalo wanaona litatatua matatizo yao
Kabla hauja andika tangazo angalia ni jinsi gani kichwa cha habari kitawasaidia watu kutatua matatizo yao

7.Toa ofa
Hii ni sehemu itayokusaidia kukufungulia biashara kuanza kufanya mauzo. Pia ni sehemu ambayo tangazo lako litazidi kuwa kubwa kwanini? Sababu matangazo mengi yanayotangazwa na wafanyabiashara hayatoi ofa mfano kama unauza nguo katika tangazo lako utaweza kuandika
"Ndani ya msimu huu wa sikukuu tunatoa ofa kwenu wateja wetu kutakuwa na punguzo kubwa la bei zaidi ya asilimia 20"
Vitu vya kuzingatia unavyotoa ofa
Toa ofa bidhaa ambayo watu wanahitaji sana
Toa ofa ambayo thamani ya bidhaa/huduma viendane

8. Watoe hofu wateja
Ikiwa umemaliza kazi yako ya kuandika tangazo lako kuna kitu kingine pia unaweza ukakifanya . Watu hawawezi kununua kwa sababu tatu

-Wanaogopa kupoteza pesa
-Hawana usibitisho kwa hicho unachowaambia kama ni sahihi
-Hawahitaji huduma yako

Njia nzuri ya kuweza kuondoa hofu kwa wateja nikuwapa huduma yako bure kwa mda mfupi kama ofa ili wapate uhakika na kile unachowaambia pia

Anza leo kuanza kutangaza bidhaa zako hapa guliotanzania.com



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi ya mafuta kwa wateja wa jumla

Makampuni mengi lengo lao kubwa ni kuuza bidhaa zao za mafuta ya ngozi jumla kwa wateja wanaoenda kuuza rejareja. Hatua hii inaweza kuwa changamoto kwa wazalishaji wa bidhaa na wauzaji ili uweze kufanya mauzo vizuri na ufanikiwe kuwapata wanunuzi wa bidhaa yako inatakiwa ufanye maandalizi na ujue nini unategemea Kufanikiwa kufikisha na kuuza bidhaa za mafuta ya ngozi kwa wanunuaji fuata hatua chache na kuwa na ujuzi .kiujumla kampuni inaweza kuwa kubwa ,ikawepo mtandaoni lakini watu wangapi nao wanafanya hivyo Weka mipango vizuri kuhusu wateja,ushindani,na brand izidi kukuwa. Pia kuwa makini wakati wa kuuza na kufanya mapatano ya bei. Mwisho biashara yako itakuwa na itapanuka Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi kwa bei ya jumla 1. Wanunuaji huwa wanaangalia bidhaa yenye ubunifu Inatakiwa uuze bidhaa ambayo mtu atataka kununua . Pengine inaweza ikawa na ubunifu katika kifungashio,vitu vilivyotumika kutengenezea,technolojia,inavyotumika etc  inatakiwa uongeze t...

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni

Kuna watu wengi wanauza magari kupitia mtandao wanatangaza biashara kupitia mitandao mikubwa hapa Tanzania kama guliostore.com , Kupatana na ZoomTanzania, na   ni njia ya kupata wateja wengi zaidi baada ya kuchagua tovuti ya kutaka kutangaza biashara  osha gari lako kisha chukua picha nyingi zakupost mtandaoni Kama mteja atakutafuta utamwambia maongezi ya bei utofauti wa bei na wauzaji wenzio itategemea na gari yako ina hali gani Hapa leo tumekuletea mambo yakuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni 1.Hakikisha una kadi ya gari Mara unavyoweka gari lako mtandaoni wateja wengi wataanza kukutafuta. Kabla haujaanza kutangaza mtandaoni hakikisha gari yako unavielelezo vyote kuwa wewe ndio mmiliki pia lipia mapato yako yote ikiwa kama unadaiwa 2.Elewa kipi unakijua kuhusu gari yako Mara mtu anapoanza kukutafuta huwa anakuja na maswali mengi utafanya  vizuri kuwajibu Ikiwa hauna ujuzi wowote ni muda sasa wakuanza kufuatilia gari yako ina engine ya aina g...