Wengi wetu huwa tunapenda kuziuza smartphone zetu hasa pale tunaposikia kuna toleo jipya limeingia
Lakini sio kitu kirahisi. Ni wazo zuri kufikiria kuuza simu uliyoitumia kwa mda mrefu ili uweze kupunguza gharama za kununua simu toleo jipya kila siku
Kuuza na kununua simu nyingine itakusaidia kupunguza gharama
Uuzaji wa simu ni kama sayansi. Kuna watu wengi wanaishi kwa kutegemea biashara hii.Kuna wengine wamesomea biashara hii kwa miaka
Nimeuza na kununua simu mtandaoni kwa kupata mafanikio makubwa ndo mana leo nimeleta makala hii kwa wale ambao hawana uzoefu waweze kujua mambo ya kuzingatia ili waweze kujifunza
Mambo ya kuzingatia unavyotaka kuuza smartphone mtandaoni
1.Toa maelezo ya simu kwa kina na kuwa mwaminifu
Kuna aina mbili za wateja kuna wa wale ambao wanatafuta bidhaa ili wanunue lakini kuna wale ambao baada ya kuperuzi mtandaoni wakavutiwa na bidhaa
Bila kujali ni kundi lipi unaloliuzia bidhaa hakikisha kila mara unakuwa na maelezo ya bidhaa zako.Usidanganye kuhusu hali ya simu yako au uwezo
Biashara inahitaji uaminifu ikiwa utamuuzia mteja bidhaa na akagundua kuna kitu muuzaji umemdanganya ata kama kidogo hapo tayari hatorudi tena kwako kutaka bidhaa zako
Endapo kava la smartphone yako limechakaa au kava haujalibadilisha tangia mara ya kwanza unanunua simu
Hakikisha unamwambia mteja hali ya simu yako unamfanya ajue kama kuna tatizo lolote.Angalia kama kuna scratches yoyote kwenye simu mwambie
Amini usiamini ukifanya hivi itakupa nafasi nzuri za kuuza simu ata kama inamatatizo mengi akiwa tayari na matarajio ya ukweli kwa mara ya kwanza alivyoiona bidhaa yako awezi kukataa
Ila kama ataona sratches,mikwaluzo na matatizo mengine lakini wewe haukumwambia hapa ujue kuna uwezekano mkubwa mteja kutoendelea kufanya biashara na wewe
Pia penda kuwaambia watu simu yako inafanyaje kazi. Inaweza ikachukua sehemu ya kazi yako,wanunuzi wengi ni wakawaida na hawana habari zote kuhusu mambo ya kiufundi.Wao hawafikiri simu yako inafanyaje kazi.chakufanya wewe wape kile maelezo kidogo unachokijui kuhusu simu yako ambacho kitakuwa na msaada
Kitu gani kitafanya gani uuze simu yako?
Kama muuzaji orodhesha specification za simu yako vile unavyofikiri pendelea pia kureview ili kujua specification za simu yako
Na mnunuzi atataka kujua kwanini unaiuza smartphone yako .Unataka upate simu nyingine kama hiyo yenye uwezo mkubwa?Unatafuta simu nyingine mpya? Hauipendi
?
2.Muda ni pesa
Kumbuka smartphone zinamuda mfupi sana siku hizi
Smartphone nyingi zinaonekana kama ni za zamani kwa miezi michache tu kwahiyo wahi kuziuza smartphone kabla hazijapitwa na wakati. Usinunue simu leo ukaaitumia muda mrefu na ukategemea utamuuzia mtu baadae! Jinsi unavyokaa nayo mda smartphone na ndo jinsi thamani yake inavyoshuka
Jaribu kuuza simu kabla halijatolewa toleo lingine la smartphone hiyo
Watu huwa wanapenda kusikia simu wanazonunua ni toleo jipya kutoka kiwandani
Kama ni muuzaji unaposikia tetezi kwamba hiyo kampuni ya simu yako inataka kutoa tokeo jingine la simu hiyo huo ndio muda mzuri wa kuiuza simu hiyo uliyonayo kwa bei nzuri ili upate smartphone toleo jipya
3.Wapi unaweza ukaiuza smartphone yako
Sasa unajua unaweza kuuza kupitia internet,huu ni muda unaweza kwenda mbele zaidi na weka simu yako online
Tunapendekeza utumie tovuti ya guliostore.com au app ya Gulio Store kuuza simu zako na bidhaa nyingine nyingi
Kumbuka smartphone zinamuda mfupi sana siku hizi
Smartphone nyingi zinaonekana kama ni za zamani kwa miezi michache tu kwahiyo wahi kuziuza smartphone kabla hazijapitwa na wakati. Usinunue simu leo ukaaitumia muda mrefu na ukategemea utamuuzia mtu baadae! Jinsi unavyokaa nayo mda smartphone na ndo jinsi thamani yake inavyoshuka
Jaribu kuuza simu kabla halijatolewa toleo lingine la smartphone hiyo
Watu huwa wanapenda kusikia simu wanazonunua ni toleo jipya kutoka kiwandani
Kama ni muuzaji unaposikia tetezi kwamba hiyo kampuni ya simu yako inataka kutoa tokeo jingine la simu hiyo huo ndio muda mzuri wa kuiuza simu hiyo uliyonayo kwa bei nzuri ili upate smartphone toleo jipya
3.Wapi unaweza ukaiuza smartphone yako
Sasa unajua unaweza kuuza kupitia internet,huu ni muda unaweza kwenda mbele zaidi na weka simu yako online
Tunapendekeza utumie tovuti ya guliostore.com au app ya Gulio Store kuuza simu zako na bidhaa nyingine nyingi

Maoni
Chapisha Maoni