Ruka hadi kwenye maudhui makuu

vifaa vya simu bora vya kununua kipindi hiki


Siku ya leo nimewaletea vifaa vya simu ambavyo ni bora na vinauzika zaidi kutoka kwa wasambazaji wakubwa duniani kipindi hiki kama ni muuzaji wa electronics nafahamu kabisa utakuwa na idea kidogo kuhusu uagizaji wa mizigo ya vifaa vya simu kutoka katika mitandao mikubwa kama Alibaba,amazon,ebay nk
Unavyoingia kwenye store kubwa kama hizo utaambiwa na bidhaa ambazo zimekuwa zinapendwa zaidi na wateja wakati huo

Lengo la makala hii nikutoa muongozo ili ujue bidhaa zipi zipo kwenye soko kipindi hasa kwa wale wauzaji wa jumla wale wanaochukua au wanaotaka kuanza kuchukua mizigo kutoka katika mataifa mbalimbali na kuja kuuza nchini kwa jumla

Bila kupoteza mda ngoja nielekee kukutajia hivyo vifaa vya simu ambavyo vipo kwenye soko kipindi hiki ina mana kama utanunua basi upo uwezekano wakuja kumaliza mzigo haraka

1. Popsocket
Popsocket ni kifaa ambacho kama kishikizo kinachokuwa kinapachikwa nyuma ya simu kinamfanya mtumiaji kushikilia vizuri smartphone yake pale anapochukua picha ya selfies
Popsocket mounts pia inaweza kutumika kwenye gari kushikilia smartphone

Hii bidhaa unaweza kupata kwa bei ya jumla kwenye mitandao mikubwa kwanzia
$2-$8

3.Bower &wilkins PX

Hizi ni Headphone ambazo zinatoa mziki mzuri usiokuwa na kelele,ina base,ina muonekano mzuri,ina bluetooth,ya thamani,ina kaa na betri mda mrefu,imebuniwa kiubunifu,inaweza kutumika kwa microphone unawez kuzipata kutoka store ya Amazon

4.Back me up mobile charger

Hii ni rahisi kuchaji simu yako hii powerbank ni kama  zingine za kawaida tu isipokuwa inakuwa na imebuniwa kitofauti muonekano

5. BOOST Up Wireless Charging Pad

Hii ni chaji ambayo haitumii waya kuchomeka lakini haitumiki kwa umbali mrefu
Pia hii nayo bado ipo kwenye soko kama ni mfanyabiashara hii bado ni fursa kwako kuendelea kuagiza hii charger kwa bei ya  jumla kutoka alibaba ambao bidhaa hizi utazipata kwa bei cheap na wewe ukaja kuuza kwa bei ya jumla


6.Pocket Power 10K Power Bank
Hii inatumika kuchajia smartphone zote inapeleka chaji haraka,haipatishi moto simu yako
Ukiingia kwenye store hizo utakutana na power bank aina nyingi. Lakini hii ni moja ya zile best zilizopendwa zaidi na watu
Ingia chagua supplier anaeuza bei cheap ili ukinunua jumla na wewe uje kuuza jumla

7. Insta360 one
Hii ina sifa nyingi za 360 cameras kwa miaka miwili iliyopita ilionekana hata theme sawa na 360 cameras.Baadhi ya camera zinaoneka kama ni bora lakini zinakosa sifa muhimu kama za 360
Kwa insta360 ina sifa nyingi kama 360 camera ina shoot video nzuri, na picha nzuri zenye quality
Hii unaweza kuinunua kwenye  mitandao kama Gearbest na amazon

8.Audio + Charge Rockstar
Hii imebuniwa kwa ajili ya kuchaji simu hapo hapo ukiwa unasikiliza mziki. Ina cable mbili moja ya kuchomeka sehemu ya kusikiliza muziki na nyingine chaji
Kifaa hichi kimetengenezwa kwa simu ya iphone 7 na iphone 7 plus

9. iON Wireless Plus Fast Charging Pad
Kuna wireless nyingi ambazo zipo sokoni nyingi ya izo zina sifa sawa ambazo unaweza kuzipata kwanzia bei ya $5,lakini kama unatafuta ile yenye ubora zaidi na iliyobuniwa kitofauti jaribu hii "iON Wireless Plus Fast Charging Pad" ipo rectangle muonekano kama wallet ipo kwenye soko kipindi hichi watu wengi wanainunua sana

10.BEST CAMERA LENSES: AMIR 3-IN-1

Hii inafahamika sana na pia bei yake ni cheap huwa zinakuja lens tatu zimetengenezewa aluminium na plastic hii ni lens ya camera inatumika kwenye simu za iphone na android kuongeza ukubwa wa picha
Utaipata kupitia kwenye store   kubwa kwanzia bei ya $5 kwa mzigo wa jumla kulingana na ubora

11. BEST WATERPROOF CASE: OCASE WATERPROOF PHONE CASE
Hilo ni kasha la smartphone ambalo linazuia maji yasiingie kwenye simu linazui kwa asilimia 100  mtumiaji anaweza akachukua picha akiwa ndani ya maji

Ndugu msomaji baada yakufahamu vifaa hivyo vinavyotrend sana kwenye soko kwa sasa naamini kabisa utakuwa umepata kitu hapa

Lakini bado lengo langu kubwa ni kuhakikisha mfanyabiashara unafanikiwa kwanzia kwenye kununua bidhaa bora na kupata masoko kupitia mtandao

Ndo mana kwa kushirikiana na team yangu tumeamua kuja na tovuti hii guliostore.com itakayokusaidia kuuza bidhaa zako pale utapokuwa umeshaleta mzigo Tanzania

Site yetu inatembelewa na watu wengi hivyo kukufanya kuwa na uwezekano wa kuuza bidhaa zako haraka
Tuna kupa ofa ya nusu bei kwa wiki moja tangazo lako la premium
Na utafanyiwa boosting kwenye social Network



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Njia mbalimbali za kuandika tangazo la biashara

Ikiwa ni mfanyabiashara jifunze jinsi ya kuwashawishi wateja na kupata matokeo.unatakiwa kutangaza kupata matokeo makubwa watu wavutiwe na bidhaa zako na kuwafanya wateja kuwa na hamu kubwa ya kununua bidhaa zako Jifunze njia mbalimbali za kuandika tangazo la kuuza bidhaa/huduma mtandaoni 1.Andika kama vile jinsi unavyoongea Kampuni yako au bidhaa yako ni kama mtu na inasifa yakuwa na sauti. Na tumia hiyo sauti kuifuatisha Andika tangazo kama vile unavyoweza kuzungumza,maneno utayoandika kati ya kampuni yako na mnunuzi wako Sauti yako na hasa maneno utayochagua kutumia yatakuwa tofauti sana 2.Andika sifa na faida kabla haujaanza Watu hawawezi kununua bidhaa yako au huduma yako ikiwa hawafahamu watanufaika na nini kwenye bidhaa yako. Mfano unauza  printer waelimishe watu huduma yako itawasaidiaje, je inaokoa mda na kazi? Ubora wa hiyo bidhaa yako? Unamwambia nini mteja ategemee kwenye hiyo bidhaa? Andika sifa na faida kwa mteja kile ambacho atanufaika kuhusu bidhaa au hu...

Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi ya mafuta kwa wateja wa jumla

Makampuni mengi lengo lao kubwa ni kuuza bidhaa zao za mafuta ya ngozi jumla kwa wateja wanaoenda kuuza rejareja. Hatua hii inaweza kuwa changamoto kwa wazalishaji wa bidhaa na wauzaji ili uweze kufanya mauzo vizuri na ufanikiwe kuwapata wanunuzi wa bidhaa yako inatakiwa ufanye maandalizi na ujue nini unategemea Kufanikiwa kufikisha na kuuza bidhaa za mafuta ya ngozi kwa wanunuaji fuata hatua chache na kuwa na ujuzi .kiujumla kampuni inaweza kuwa kubwa ,ikawepo mtandaoni lakini watu wangapi nao wanafanya hivyo Weka mipango vizuri kuhusu wateja,ushindani,na brand izidi kukuwa. Pia kuwa makini wakati wa kuuza na kufanya mapatano ya bei. Mwisho biashara yako itakuwa na itapanuka Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi kwa bei ya jumla 1. Wanunuaji huwa wanaangalia bidhaa yenye ubunifu Inatakiwa uuze bidhaa ambayo mtu atataka kununua . Pengine inaweza ikawa na ubunifu katika kifungashio,vitu vilivyotumika kutengenezea,technolojia,inavyotumika etc  inatakiwa uongeze t...

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni

Kuna watu wengi wanauza magari kupitia mtandao wanatangaza biashara kupitia mitandao mikubwa hapa Tanzania kama guliostore.com , Kupatana na ZoomTanzania, na   ni njia ya kupata wateja wengi zaidi baada ya kuchagua tovuti ya kutaka kutangaza biashara  osha gari lako kisha chukua picha nyingi zakupost mtandaoni Kama mteja atakutafuta utamwambia maongezi ya bei utofauti wa bei na wauzaji wenzio itategemea na gari yako ina hali gani Hapa leo tumekuletea mambo yakuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni 1.Hakikisha una kadi ya gari Mara unavyoweka gari lako mtandaoni wateja wengi wataanza kukutafuta. Kabla haujaanza kutangaza mtandaoni hakikisha gari yako unavielelezo vyote kuwa wewe ndio mmiliki pia lipia mapato yako yote ikiwa kama unadaiwa 2.Elewa kipi unakijua kuhusu gari yako Mara mtu anapoanza kukutafuta huwa anakuja na maswali mengi utafanya  vizuri kuwajibu Ikiwa hauna ujuzi wowote ni muda sasa wakuanza kufuatilia gari yako ina engine ya aina g...