Watu wengi wanapo anzisha biashara huwa kuna baadhi ya mambo wanazingatia mfano;
-wateja
-Gharama za uendeshaji
-jinsi ya kukuza thamani ya bidhaa katika biashara n.k
# Lakini husahau kitu cha msingi Sana katika biashara ambacho ni namna ya kusimamia mzunguko au ktiririko wa fedha katika biashara.
USIMAMIZI WA MTIRIRIKO WA FEDHA KATIKA BIASHARA
-Pia inasaidia kufahamu gharama za uendeshaji wa biashara yako.
-pia inasaidia kukupa taarifa za mapema kabisa kabla biashara haija anguka.
Vyanzo vya kukuwezesha uweze kufanya makadirio ya mtiririko WA fedha katika biashara.
1. Tambua mzunguko wa mauzo.
2.Rekebisha sela ya ukusanyaji fedha kutokana na mauzo.
3.Simamia vizuri Mali ulizonazo.
4.Tumia hela yako Kwa kiwango kikubwa.
5.Panga Kodi.
Vitu vingine vya kuzingatia ni.
-Angalia kiwango cha pesa kilasiku.
-Angalia mapato kila baada ya siku Saba.
-Angalia bidhaa zako na kuzihesabu mwisho WA mwezi.
-jaribu kukutana na washauri mbalimbali kila robo mwaka.
Naaam, natumaini watu wakisoma hiyo makala apo juu wanaweza wakatatua tatizo la kufeli Kwa biashara
-wateja
-Gharama za uendeshaji
-jinsi ya kukuza thamani ya bidhaa katika biashara n.k
# Lakini husahau kitu cha msingi Sana katika biashara ambacho ni namna ya kusimamia mzunguko au ktiririko wa fedha katika biashara.
USIMAMIZI WA MTIRIRIKO WA FEDHA KATIKA BIASHARA
-Hii inakuwezesha kuweza kujua kiwango cha fedha kinacho ingia na kinachotoka Kwa muda fulaniLazima uweze kufanya makadirio ya mzunguko wa fedha(cash flow forecast) kabla ya kuanza kufanya biashara.
-Pia inasaidia kufahamu gharama za uendeshaji wa biashara yako.
-pia inasaidia kukupa taarifa za mapema kabisa kabla biashara haija anguka.
Vyanzo vya kukuwezesha uweze kufanya makadirio ya mtiririko WA fedha katika biashara.
Vitu vya kuzingatia wakati wa kuaandaa makadirio ya mtiririko wa fedha.Uzoefu wa mfanyabiashara.
Utafiti wa kimasoko.
Washauri mfano(wahasibu).
Hatua kukuwezesha kufanya usimamizi mzuri wa fedha katika biashara.Kuongezeka Kwa gharama za bidhaa.
Wacheleweshaji katika kufanya malipo.
Mabadiliko ya majira ya biashara.
Dharura.
1. Tambua mzunguko wa mauzo.
2.Rekebisha sela ya ukusanyaji fedha kutokana na mauzo.
3.Simamia vizuri Mali ulizonazo.
4.Tumia hela yako Kwa kiwango kikubwa.
5.Panga Kodi.
Vitu vingine vya kuzingatia ni.
-Angalia kiwango cha pesa kilasiku.
-Angalia mapato kila baada ya siku Saba.
-Angalia bidhaa zako na kuzihesabu mwisho WA mwezi.
-jaribu kukutana na washauri mbalimbali kila robo mwaka.
Naaam, natumaini watu wakisoma hiyo makala apo juu wanaweza wakatatua tatizo la kufeli Kwa biashara
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Maoni
Chapisha Maoni