Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Sababu za biashara nyingi kufa

 

Watu wengi wanapo anzisha biashara huwa kuna baadhi ya mambo wanazingatia mfano;
-wateja
-Gharama za uendeshaji
-jinsi ya kukuza thamani ya bidhaa katika biashara n.k
# Lakini husahau kitu cha msingi Sana katika biashara ambacho ni namna ya kusimamia mzunguko au ktiririko wa fedha katika biashara.

USIMAMIZI WA MTIRIRIKO WA FEDHA KATIKA BIASHARA

Lazima uweze kufanya makadirio ya mzunguko wa fedha(cash flow forecast) kabla ya kuanza kufanya biashara.
-Hii inakuwezesha kuweza kujua kiwango cha fedha kinacho ingia na kinachotoka Kwa muda fulani
-Pia inasaidia kufahamu gharama za uendeshaji wa biashara yako.
-pia inasaidia kukupa taarifa za mapema kabisa kabla biashara haija anguka.
Vyanzo vya kukuwezesha uweze kufanya makadirio ya mtiririko WA fedha katika biashara.
Uzoefu wa mfanyabiashara.
Utafiti wa kimasoko.
Washauri mfano(wahasibu).
Vitu vya kuzingatia wakati wa kuaandaa makadirio ya mtiririko wa fedha.
Kuongezeka Kwa gharama za bidhaa.
Wacheleweshaji katika kufanya malipo.
Mabadiliko ya majira ya biashara.
Dharura.
Hatua kukuwezesha kufanya usimamizi mzuri wa fedha katika biashara.
1. Tambua mzunguko wa mauzo.
2.Rekebisha sela ya ukusanyaji fedha kutokana na mauzo.
3.Simamia vizuri Mali ulizonazo.
4.Tumia hela yako Kwa kiwango kikubwa.
5.Panga Kodi.
Vitu vingine vya kuzingatia ni.
-Angalia kiwango cha pesa kilasiku.
-Angalia mapato kila baada ya siku Saba.
-Angalia bidhaa zako na kuzihesabu mwisho WA mwezi.
-jaribu kukutana na washauri mbalimbali kila robo mwaka.
Naaam, natumaini watu wakisoma hiyo makala apo juu wanaweza wakatatua tatizo la kufeli Kwa biashara

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Njia mbalimbali za kuandika tangazo la biashara

Ikiwa ni mfanyabiashara jifunze jinsi ya kuwashawishi wateja na kupata matokeo.unatakiwa kutangaza kupata matokeo makubwa watu wavutiwe na bidhaa zako na kuwafanya wateja kuwa na hamu kubwa ya kununua bidhaa zako Jifunze njia mbalimbali za kuandika tangazo la kuuza bidhaa/huduma mtandaoni 1.Andika kama vile jinsi unavyoongea Kampuni yako au bidhaa yako ni kama mtu na inasifa yakuwa na sauti. Na tumia hiyo sauti kuifuatisha Andika tangazo kama vile unavyoweza kuzungumza,maneno utayoandika kati ya kampuni yako na mnunuzi wako Sauti yako na hasa maneno utayochagua kutumia yatakuwa tofauti sana 2.Andika sifa na faida kabla haujaanza Watu hawawezi kununua bidhaa yako au huduma yako ikiwa hawafahamu watanufaika na nini kwenye bidhaa yako. Mfano unauza  printer waelimishe watu huduma yako itawasaidiaje, je inaokoa mda na kazi? Ubora wa hiyo bidhaa yako? Unamwambia nini mteja ategemee kwenye hiyo bidhaa? Andika sifa na faida kwa mteja kile ambacho atanufaika kuhusu bidhaa au hu...

Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi ya mafuta kwa wateja wa jumla

Makampuni mengi lengo lao kubwa ni kuuza bidhaa zao za mafuta ya ngozi jumla kwa wateja wanaoenda kuuza rejareja. Hatua hii inaweza kuwa changamoto kwa wazalishaji wa bidhaa na wauzaji ili uweze kufanya mauzo vizuri na ufanikiwe kuwapata wanunuzi wa bidhaa yako inatakiwa ufanye maandalizi na ujue nini unategemea Kufanikiwa kufikisha na kuuza bidhaa za mafuta ya ngozi kwa wanunuaji fuata hatua chache na kuwa na ujuzi .kiujumla kampuni inaweza kuwa kubwa ,ikawepo mtandaoni lakini watu wangapi nao wanafanya hivyo Weka mipango vizuri kuhusu wateja,ushindani,na brand izidi kukuwa. Pia kuwa makini wakati wa kuuza na kufanya mapatano ya bei. Mwisho biashara yako itakuwa na itapanuka Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi kwa bei ya jumla 1. Wanunuaji huwa wanaangalia bidhaa yenye ubunifu Inatakiwa uuze bidhaa ambayo mtu atataka kununua . Pengine inaweza ikawa na ubunifu katika kifungashio,vitu vilivyotumika kutengenezea,technolojia,inavyotumika etc  inatakiwa uongeze t...

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni

Kuna watu wengi wanauza magari kupitia mtandao wanatangaza biashara kupitia mitandao mikubwa hapa Tanzania kama guliostore.com , Kupatana na ZoomTanzania, na   ni njia ya kupata wateja wengi zaidi baada ya kuchagua tovuti ya kutaka kutangaza biashara  osha gari lako kisha chukua picha nyingi zakupost mtandaoni Kama mteja atakutafuta utamwambia maongezi ya bei utofauti wa bei na wauzaji wenzio itategemea na gari yako ina hali gani Hapa leo tumekuletea mambo yakuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni 1.Hakikisha una kadi ya gari Mara unavyoweka gari lako mtandaoni wateja wengi wataanza kukutafuta. Kabla haujaanza kutangaza mtandaoni hakikisha gari yako unavielelezo vyote kuwa wewe ndio mmiliki pia lipia mapato yako yote ikiwa kama unadaiwa 2.Elewa kipi unakijua kuhusu gari yako Mara mtu anapoanza kukutafuta huwa anakuja na maswali mengi utafanya  vizuri kuwajibu Ikiwa hauna ujuzi wowote ni muda sasa wakuanza kufuatilia gari yako ina engine ya aina g...