Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Jinsi ya kuuza nyumba yako haraka mtandaoni


Linapokuja swala la kuuza nyumba kitu cha kuzingatia ni kupata dalali mzuri wa nyumba na majengo ambaye unaona anauelewa wa kutosha

Na leo hii Gulio Tanzania tupo hapa tumekuorodhoshea hatua saba mambo ya kuyazingatia unapotaka kuuza nyumba mtandaoni

1.Fanya utafiti sifa za dalali unayemfikiria kukuuzia nyumba yako
Kabla haujachagua dalali unayempenda hakikisha unampata dalali ambaye atakuuzia nyumba kwa bei nzuri pia awe mwaminifu

2.Chukua mda kuandaa picha
Kitu cha msingi wanunuaji wa nyumba mtandaoni wanachokiangalia zaidi ni picha kabla hawajataka kujua vitu vingine kazi kwako kuchukua picha za nyumba yako zenye muonekano mzuri
Chukua picha ya nyumba nzima kwa mbele ambayo itaonekana bila gari au wanyama
pia chukua picha ikionesha vyumba,sebule kama kuna yard ya magari au swimming pool

3.Usisahau kulipia kiasi kidogo tangazo lako premium listing
Hatua ya kwanza kabisa kuuza nyumba yako mtandaoni ni rahisi kama tangazo lako litakuwa ukurasa wa mbele ambao wanunuaji wengi wanaliona
Amini kwamba kutangaza biashara premium listing kutakupa pesa
Ni muhimu kuweka tangazo lako ukurasa wa mbele wa site sababu ushindani nao ni mkubwa
Lipia kiasi kidogo kutangaza nyumba yako ionekane ukurasa wa mbele kwa tovuti kama guliostore.com

Utakuwa na uwezekano mkubwa wa kuuza nyumba yako

4.Tangaza mtaa nyumba ilipo
Tangaza maeneo ilipo nyumba yako ili kuweza kuwavutia wateja utawaambia nyumba ipo na huduma gani za kijamii ikiwa ipo karibu shule,bar,mgahawa bank nk

5.Hakikisha nyumba yako ipo vizuri kabla mtu hajaiona
Tumia muda na pesa kidogo kufanya marekebisho kidogo ya nyumba yako ili kufanikiwa kuiuza paka rangi mpya ukutani badilisha madirisha ya jikoni na hata kwa upande wa bafu na choo paka rangi zionekane kama ni mpya

6.Kwanini unauza nyumba? waambie wateja
Watoe hofu wateja wako unaowatangazia nyumba kwa kuwaambia sababu za wewe kuuza hiyo nyumba ili wajue wananunua nyumba mahali sahihi palipo pimwa

7.Tangaza nyumba yako kwenye kwenye tovuti nyingi ikiwemo tovuti ya guliostore.com na app ya Gulio store inatoa nafasi kwako wewe unayehitaji kuuza nyumba,majengo au viwanja kwa kuchangia kiasi kidogo
kuwekewa tangazo lako premium ambalo litaonekana kwa wateja wengi

Maoni

Chapisha Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

Njia mbalimbali za kuandika tangazo la biashara

Ikiwa ni mfanyabiashara jifunze jinsi ya kuwashawishi wateja na kupata matokeo.unatakiwa kutangaza kupata matokeo makubwa watu wavutiwe na bidhaa zako na kuwafanya wateja kuwa na hamu kubwa ya kununua bidhaa zako Jifunze njia mbalimbali za kuandika tangazo la kuuza bidhaa/huduma mtandaoni 1.Andika kama vile jinsi unavyoongea Kampuni yako au bidhaa yako ni kama mtu na inasifa yakuwa na sauti. Na tumia hiyo sauti kuifuatisha Andika tangazo kama vile unavyoweza kuzungumza,maneno utayoandika kati ya kampuni yako na mnunuzi wako Sauti yako na hasa maneno utayochagua kutumia yatakuwa tofauti sana 2.Andika sifa na faida kabla haujaanza Watu hawawezi kununua bidhaa yako au huduma yako ikiwa hawafahamu watanufaika na nini kwenye bidhaa yako. Mfano unauza  printer waelimishe watu huduma yako itawasaidiaje, je inaokoa mda na kazi? Ubora wa hiyo bidhaa yako? Unamwambia nini mteja ategemee kwenye hiyo bidhaa? Andika sifa na faida kwa mteja kile ambacho atanufaika kuhusu bidhaa au hu...

Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi ya mafuta kwa wateja wa jumla

Makampuni mengi lengo lao kubwa ni kuuza bidhaa zao za mafuta ya ngozi jumla kwa wateja wanaoenda kuuza rejareja. Hatua hii inaweza kuwa changamoto kwa wazalishaji wa bidhaa na wauzaji ili uweze kufanya mauzo vizuri na ufanikiwe kuwapata wanunuzi wa bidhaa yako inatakiwa ufanye maandalizi na ujue nini unategemea Kufanikiwa kufikisha na kuuza bidhaa za mafuta ya ngozi kwa wanunuaji fuata hatua chache na kuwa na ujuzi .kiujumla kampuni inaweza kuwa kubwa ,ikawepo mtandaoni lakini watu wangapi nao wanafanya hivyo Weka mipango vizuri kuhusu wateja,ushindani,na brand izidi kukuwa. Pia kuwa makini wakati wa kuuza na kufanya mapatano ya bei. Mwisho biashara yako itakuwa na itapanuka Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi kwa bei ya jumla 1. Wanunuaji huwa wanaangalia bidhaa yenye ubunifu Inatakiwa uuze bidhaa ambayo mtu atataka kununua . Pengine inaweza ikawa na ubunifu katika kifungashio,vitu vilivyotumika kutengenezea,technolojia,inavyotumika etc  inatakiwa uongeze t...

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni

Kuna watu wengi wanauza magari kupitia mtandao wanatangaza biashara kupitia mitandao mikubwa hapa Tanzania kama guliostore.com , Kupatana na ZoomTanzania, na   ni njia ya kupata wateja wengi zaidi baada ya kuchagua tovuti ya kutaka kutangaza biashara  osha gari lako kisha chukua picha nyingi zakupost mtandaoni Kama mteja atakutafuta utamwambia maongezi ya bei utofauti wa bei na wauzaji wenzio itategemea na gari yako ina hali gani Hapa leo tumekuletea mambo yakuzingatia unapotaka kuuza gari used mtandaoni 1.Hakikisha una kadi ya gari Mara unavyoweka gari lako mtandaoni wateja wengi wataanza kukutafuta. Kabla haujaanza kutangaza mtandaoni hakikisha gari yako unavielelezo vyote kuwa wewe ndio mmiliki pia lipia mapato yako yote ikiwa kama unadaiwa 2.Elewa kipi unakijua kuhusu gari yako Mara mtu anapoanza kukutafuta huwa anakuja na maswali mengi utafanya  vizuri kuwajibu Ikiwa hauna ujuzi wowote ni muda sasa wakuanza kufuatilia gari yako ina engine ya aina g...