Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2018

Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi ya mafuta kwa wateja wa jumla

Makampuni mengi lengo lao kubwa ni kuuza bidhaa zao za mafuta ya ngozi jumla kwa wateja wanaoenda kuuza rejareja. Hatua hii inaweza kuwa changamoto kwa wazalishaji wa bidhaa na wauzaji ili uweze kufanya mauzo vizuri na ufanikiwe kuwapata wanunuzi wa bidhaa yako inatakiwa ufanye maandalizi na ujue nini unategemea Kufanikiwa kufikisha na kuuza bidhaa za mafuta ya ngozi kwa wanunuaji fuata hatua chache na kuwa na ujuzi .kiujumla kampuni inaweza kuwa kubwa ,ikawepo mtandaoni lakini watu wangapi nao wanafanya hivyo Weka mipango vizuri kuhusu wateja,ushindani,na brand izidi kukuwa. Pia kuwa makini wakati wa kuuza na kufanya mapatano ya bei. Mwisho biashara yako itakuwa na itapanuka Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza mafuta ya ngozi kwa bei ya jumla 1. Wanunuaji huwa wanaangalia bidhaa yenye ubunifu Inatakiwa uuze bidhaa ambayo mtu atataka kununua . Pengine inaweza ikawa na ubunifu katika kifungashio,vitu vilivyotumika kutengenezea,technolojia,inavyotumika etc  inatakiwa uongeze t...

vifaa vya simu bora vya kununua kipindi hiki

Siku ya leo nimewaletea vifaa vya simu ambavyo ni bora na vinauzika zaidi kutoka kwa wasambazaji wakubwa duniani kipindi hiki kama ni muuzaji wa electronics nafahamu kabisa utakuwa na idea kidogo kuhusu uagizaji wa mizigo ya vifaa vya simu kutoka katika mitandao mikubwa kama Alibaba,amazon,ebay nk Unavyoingia kwenye store kubwa kama hizo utaambiwa na bidhaa ambazo zimekuwa zinapendwa zaidi na wateja wakati huo Lengo la makala hii nikutoa muongozo ili ujue bidhaa zipi zipo kwenye soko kipindi hasa kwa wale wauzaji wa jumla wale wanaochukua au wanaotaka kuanza kuchukua mizigo kutoka katika mataifa mbalimbali na kuja kuuza nchini kwa jumla Bila kupoteza mda ngoja nielekee kukutajia hivyo vifaa vya simu ambavyo vipo kwenye soko kipindi hiki ina mana kama utanunua basi upo uwezekano wakuja kumaliza mzigo haraka 1. Popsocket Popsocket ni kifaa ambacho kama kishikizo kinachokuwa kinapachikwa nyuma ya simu kinamfanya mtumiaji kushikilia vizuri smartphone yake pale anapochukua picha ya...

Njia mbalimbali za kuandika tangazo la biashara

Ikiwa ni mfanyabiashara jifunze jinsi ya kuwashawishi wateja na kupata matokeo.unatakiwa kutangaza kupata matokeo makubwa watu wavutiwe na bidhaa zako na kuwafanya wateja kuwa na hamu kubwa ya kununua bidhaa zako Jifunze njia mbalimbali za kuandika tangazo la kuuza bidhaa/huduma mtandaoni 1.Andika kama vile jinsi unavyoongea Kampuni yako au bidhaa yako ni kama mtu na inasifa yakuwa na sauti. Na tumia hiyo sauti kuifuatisha Andika tangazo kama vile unavyoweza kuzungumza,maneno utayoandika kati ya kampuni yako na mnunuzi wako Sauti yako na hasa maneno utayochagua kutumia yatakuwa tofauti sana 2.Andika sifa na faida kabla haujaanza Watu hawawezi kununua bidhaa yako au huduma yako ikiwa hawafahamu watanufaika na nini kwenye bidhaa yako. Mfano unauza  printer waelimishe watu huduma yako itawasaidiaje, je inaokoa mda na kazi? Ubora wa hiyo bidhaa yako? Unamwambia nini mteja ategemee kwenye hiyo bidhaa? Andika sifa na faida kwa mteja kile ambacho atanufaika kuhusu bidhaa au hu...

Mambo ya kuzingatia unavyotaka kuuza nguo za jumla mtandaoni

Kuuza nguo kwa jumla imekuwa ni biashara yenye faida ni fursa inayokuwa kila mwaka. Kila mtu huwa anatafuta brand za nguo maarufu zinazouzwa kwa bei ndogo. Wauzaji wengi wana njia wanazozitumia siku zote kuuza bidhaa Japokuwa soko la mtandaoni limekuwa ni njia rahisi sana kuuza nguo za jumla na soko linafanya vizuri . Uza nguo za jumla Unaweza ukauza nguo za jumla kwa tovuti ya guliostore.com Mambo yakuzingatia unapotaka kuuza nguo za jumla mtandaoni 1.Chagua aina ya nguo Huwezi kumuhudumia kila mtu chagua aina ya nguo iwe moja au mbili tu unazotaka kuuza mtandaoni kama utambulisho wako kwa wanunuzi kama unauza magauni hakikisha ni magauni tu usichanganye na nguo nyingine lakini utofauti uwepo kwenye size ukawa na gauni za kuvaliwa malika yote 2.Nguo zinapotoka Hapa Waambie watu nguo zako zinatoka wapi,ubora wa hizo nguo na brand ya hiyo nguo 3.Chukua picha zinazovutia upande wa nyuma na mbele ya nguo pia na label Mara unapokuwa una nguo anza kuchukua picha. Napendekeza...

Jifunze mbinu za kuuza bidhaa za jumla kwa wauzaji wa rejareja

Jifunze mbinu za kuuza bidhaa za jumla kwa wauzaji wa rejareja Leo hii tumeandaa makala kwa ajili yenu wauzaji wa jumla,wasambazaji wakubwa Lakini wawe wanauza jumla hatujawasau leo tutawapa muongozo jinsi ya kuuza jumla kwa wauzaji wa rejareja Jinsi ya kuuza bidhaa za jumla kwa wateja wa rejareja 1.UTAANZIA KUUZA BEI GANI UNAYOIFIKIRIA Hii ni sehemu muhimu sana kwa muuzaji wa jumla ambayo hautakiwi kufanya mchezo ni vizuri unapo uza bidhaa yako hakikisha bei ya kawaida kabisa ya kuuzia mzigo unauza bei 2.5x ya gharama za mzigo Hii bei ya jumla ikuletee nusu ya faida ya mzigo wote Mfano kama gharama za bidhaa ni elfu 20000 kwa muuzaji wa rejareja utamuuzia kwa bei ya 60000 hapo pigia pamoja nagharama ya usafiri,masoko na gharama zingine Inabidi pia uwe na kianzio cha kuuza bidhaa zako na kama muuzaji atachukua bidhaa nyingi na bei itapungua mfano kama unauza screen protector kama unaanzia kuuza kwanzia piece 100 bei itakuwa Tsh 3000 ila kama mnunuzi atataka kwanzia piece 5...