Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Machapisho

Jinsi ya kufanikiwa katika biashara

  Kuanzisha biashara Tanzania huambatana na changamoto kadhaa kama ukosefu wa mtaji na mkakati dhaifu wa uuzaji. Lakini badala ya kuangalia sababu zinazofanya biashara kushindwa, napenda tujikite katika makala hii kwenye mambo yanayoweza kufanikisha biashara inayoanzishwa. Mawazo haya nimeyagawanya katika dondoo zifuatazo. Tazama biashara za maeneo jirani unayoishi au biashara za watu unaowafahamu. Je, ni mambo gani yaliyofanya biashara hizo kufanikiwa, kubaki vilevile kwa muda mrefu, au hata kushindwa? Ni sababu zipi zimeleteleza matokeo hayo? Kwa hakika kuna sababu nyingi,  zikiwemo sababu binafsi ambazo ziko nje ya uewelewa wetu. Kwa msingi huo hatuwezi tukadai kujua sababu za kila biashara kushindwa. Hata hivyo, napenda tutazame baadhi ya mambo muhimu yanayopelekea biashara kufanikiwa au hata kushindwa. Mkakati dhabiti wa uuzaji. Watanzania wanafahamu kutumia fursa katika kufanya biashara zao. Hii huusisha kufungua biashara katika maeneo yalio na watu wengi, au karibu ya k...

Sababu za biashara nyingi kufa

  Monday at 11:14 PM New Add bookmark #1 Watu wengi wanapo anzisha biashara huwa kuna baadhi ya mambo wanazingatia mfano; -wateja -Gharama za uendeshaji -jinsi ya kukuza thamani ya bidhaa katika biashara n.k # Lakini husahau kitu cha msingi Sana katika biashara ambacho ni namna ya kusimamia mzunguko au ktiririko wa fedha katika biashara. USIMAMIZI WA MTIRIRIKO WA FEDHA KATIKA BIASHARA Lazima uweze kufanya makadirio ya mzunguko wa fedha(cash flow forecast) kabla ya kuanza kufanya biashara. -Hii inakuwezesha kuweza kujua kiwango cha fedha kinacho ingia na kinachotoka Kwa muda fulani -Pia inasaidia kufahamu gharama za uendeshaji wa biashara yako. -pia inasaidia kukupa taarifa za mapema kabisa kabla biashara haija anguka. Vyanzo vya kukuwezesha uweze kufanya makadirio ya mtiririko WA fedha katika biashara. Uzoefu wa mfanyabiashara. Utafiti wa kimasoko. Washauri mfano(wahasibu). Vitu vya kuzingatia wakati wa kuaandaa makadirio ya mtiririko wa fedha. Kuongezeka Kwa gharama za bidhaa. Wac...

Mtaji wa biashara ya vifaa vya simu

 Kwa mtaji wa laki tano unaweza Fanya biashara ya vifaa vya simu Anza na earphones za buku Mia mbili kwa buku Mia 3 whole sale.. Covers Autofocus nyingi zinakuwa black in colour Bei 1000,1500 elfu mbili kwa whole sale.. Batteries za simu ndogo viswaswadu.. za buku buku jero whole sale.. Housings za simu..nokia.sana Sana..bse ndo zilizopo available .sokoni Bei Ni buku Kwa housing Pekee ..na buku jero kwa housing yenye motherboard... Kuongeza kipato na kuvutia wateja ..mtaji ukikuwa au Kama unaweza azima ..tafuta computer Tia nyimbo na sizoni... Uza.. Pia usisahau kuuza memory cards flash disks.. Za kiwango Cha chini na Cha juu(Fake na original) Karibu mkuu.

Hizi ndio biashara zenye faida zaidi Tanzania

 1. Migahawa na Fast food Angalau kila binadamu anatakiwa kula chakula ili aweze kuishi. Maeneneo makubwa ya miji kama Nairobi, Kampala na Dar es salaam yanakua kwa kasi na hivyo idadi ya watu kuwa kubwa zaidi. Wafanyabiashara wengi wanaofanya biashara hii kiufasaha wanaweza kukua zaidi na kuwa na biashara kubwa sana. 2. Tiba Asili. Kama ilivyo kwa nchi nyingi Afrika tiba asili zimekuwa zikiaminika kuwa bora zaidi. Hata nchi za wenzetu walioendelea kama China hupenda dawa za asili kwani hazina kemikali. Siyo kila mtu anaweza kufanya biashara hizi. Huhitaji uzoefu na lazima upate idhini ya serikali kama tiba ni salama. 3. Saluni na Urembo. Siku hizi masuala kama Pedicure, Manicure na masaji yamekuwa mambo yanayotiliwa maanani na jamii za wa Afrika mashariki. Hair dressing na kunyoa ni kama mambo ya lazima kwa mtu yeyote mwenye kuhitaji kuwa mtanashati. Biashara hii inaendelea kuwanufaisha wengi kama ukitoa huduma nzuri na za kipekee. 4. Famasia na Madawa. Ili kufanya biashara hii ut...

Ukifanya biashara hizi utapata faida zaidi ya 50000 kwa siku

 Ukifanya biashara hizi utapata faida zaidi ya 50000 kwa siku 1.Biashara ya kuuza samaki Biashara hii inafaa zaidi kuifanya kwenye majiji makubwa Tafuta meza maeneo yenye junction au karibu na kituo cha daladala, (eneo lililochangamka kama Mbagala, Buguruni etc) Nenda ferry kanunue Pweza, ngisi na kamba. Wapike kwa ustadi wa hali ya juu, tumia akili zote kuja na kitu kinachovutia. Uza Supu ya pweza etc, nakuhakilishia, utapata faida zaidi ya 25% ya mtaji wako! Ukishapata uzoefu, fanya branding kabisa, tafuta kibanda kidogo, kitengeneze vizuri, weka bango andika supu ya pweza! Utapata wateja wa kutosha sana!   2.Biashara ya kuuza mkaa biashara ya mkaa mkuu hautojutia, kama upo karbu na handeni unaweza fanya proces za kuchoma mkaa angalau uanze na gunia 150 ambapo gharama za kuchoma sio chini ya laki5 na gharama za kusafirisha mpaka dar kila gunia ni 6k kibali cha tfs laki mbil kwa mwaka gharama za kibanda hapa dsm unaeza pata kuanzia elf 30 mpk 40 kwa mwez kodi ya pango kila gu...

Jinsi ya kuandika tangazo la kuuza gari

Pata bei nzuri zaidi ya gari lako na uliuze haraka katika matangazo, ukitumia mwongozo wetu wa kuandika tangazo zuri Ikiwa unataka kuvutia wanunuzi wanaowezekana zaidi, ni jambo la busara kupata tangazo lako sawa. Fuata vidokezo vyetu vya kuunda kiwango bora cha mauzo kilichoainishwa, na utakuwa na nafasi bora ya kujitokeza katika umati. Ni kosa kuandika tangazo la gari na kuliweka bila kujuisha maelezo yoyote ya gari yako Ukiweka tangazo la gari lako kuwa rahisi, lenye taarifa na wazi hutakosea sana. Kimsingi, unapaswa kufuata ushauri hapa chini. Bahati njema! -Tangazo la gari linahitaji taarifa muhimu kuhusu gari Lengo la kwanza la tangazo la gari ni kuhakikisha kuwa wanunuzi wako wazi kile unachouza. Kwa hivyo pata maelezo sawa. Unapaswa kujaribu kila wakati kujumuisha yafuatayo... Tengeneza, modeli, saizi ya injini (na jina), pamoja na kiwango cha trim. Kitambulisho cha mwaka wa sahani Tarehe ya MoT/miezi iliyobaki ya MoT Tarehe ya mwisho ya huduma na historia ya huduma Rangi na ai...

Mfano wa matangazo ya shule